February 29 2016 stori kutokea Mtwara, ilikuwa ni hii ishu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumsimamisha kazi mmoja wa Madaktari wa hospitali ya Rufaa ya Wilaya mkoani hapo.

‘Nani alitaka laki moja kutoka kwa mgonjwa?, simama mwenyewe.. ulimuambia kanunue dawa, dawa shilingi 80 unasema kanunue alafu leta laki moja, ameleta dawa unamwambia laki moja yangu iko wapi?’
‘Sasa naanza na wewe, unasimama kazi na uchunguzi uendelee, na wengine wote ntakao wabaini basi utaratibu ni huu‘
Unaweza pia Waziri Mkuu kumsikiliza kwenye hii sauti hapa…
0 comments:
Post a Comment