
Kwa matokeo hayo FC Barcelona ambao awali walikuwa wameziacha timu za Atletico Madrid na Real Madrid kwa point zaidi ya 5, wametoa nafasi ya kuwania Ubingwa kwa timu hizo kwani FC Barcelona anaongoza Ligi kwa tofauti ya magoli akiwa na point 76 sawa na Atletico, huku Real Madrid wakiwa na point 75.
Video ya magoli ya FC Barcelona vs Valencia, Full Time 1-2
0 comments:
Post a Comment